I wish to welcome all members of informatics in the university of Dodoma to join here so as we can share different issues concerning our academic,sport,entertainment issues.......welcome all.....karibuni sanaaaaht:bold;">
Nashukuru Sir Luba kwa comment zako kweli hii blog iko shallow the ploblem ni kwamba nimelaunch blog before sijaimalizia..sikuimalizia kutokana na sababu zifuatazo 1.nilikuwa na kazi ya kutengeneza website ya kampuni ya architecture 2.nilikuwa natafuta ni jinsi gani watu wataweza share vitu mbali mbali kama ilivyo kwenye facebook ambayo nimeshaipata hivyo soon nitaifunga hii blog na kufungua nyingine pasipo kutumia blogger
hIVYO SAMAHANI SANA SIR LUBA naomba tutafutane kwani siwezi fanya kilakitu mimi ndio maana nahitaji ushirikiano kutoka kwenu.together we can make it
4 comments:
thanks we are here
I wish to thanks the creator of this blog for giving us the wide area so that we can share intellectual issues concerning informatics
Hapa sana ila rekebisheni hi blogu yenu mbona iko shalow sanaaaaaaa
mi siukubali kiutengenezaji kama vipi tutafutane tuiweke sawa bwana from 3A-07 sir luba
Nashukuru Sir Luba kwa comment zako kweli hii blog iko shallow the ploblem ni kwamba nimelaunch blog before sijaimalizia..sikuimalizia kutokana na sababu zifuatazo
1.nilikuwa na kazi ya kutengeneza website ya kampuni ya architecture
2.nilikuwa natafuta ni jinsi gani watu wataweza share vitu mbali mbali kama ilivyo kwenye facebook ambayo nimeshaipata hivyo soon nitaifunga hii blog na kufungua nyingine pasipo kutumia blogger
hIVYO SAMAHANI SANA SIR LUBA naomba tutafutane kwani siwezi fanya kilakitu mimi ndio maana nahitaji ushirikiano kutoka kwenu.together we can make it
Post a Comment